Behalve voor degenen die terugkomen met spijt voordat zij onder jouw macht komen, in dat geval, weet dan dat Allah de Vergevingsgezinde, de Genadevolle is.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Lakini atakayekuja kati ya wale wanaopiga vita kabla hamjawatia mkononi na akaja akiwa mtiifu mwenye majuto, atafutiwa yale yaliyokuwa ni haki ya Mwenyezi Mungu. Na jueni, enyi Waumini, kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa msamaha kwa waja Wake, ni Mwenye kuwarehemu.