Waarom weerhouden de rabbijnen en de theologen hen niet van zondige woorden en het eten van illegale zaken? Kwaad is het wat zij hebben vertoond.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Mbona viongozi wao na wasomi wao hawawakatazi hawa ambao wanayakimbilia madhambi na kufanya uadui, kusema urongo, uzushi na kula mali za watu kinyume na haki? Ni kiovu mno walichokifanya, walipoacha kukataza munkar (mabaya).