Weer het kwaad af met dat wat beter is. Wij zijn welbekend met de dingen die zij uiten.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Pindi wanapokufanyia ubaya maadui zako, ewe Mtume, kwa maneno au vitendo, basi usiwalipe ubaya, lakini uondoshe ubaya wao kwa kuwafanyia wema. Sisi tunayajua mno yale wanayokubandika washirikina ya sifa za ushirikina na kukukanusha, na Atawalipa kwa hayo malipo maovu mno.