En sommigen maken van Zijn dienaren gelijken aan Allah. Waarlijk, de mens is zeker duidelijk ondankbaar!
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na hawa washirikina wamemfanya Mwenyezi Mungu kuwa na fungu miongoni mwa waja Wake. Nako ni kule kusema kwao kuhusu Malaika kuwa ni watoto wa kike wa mwenyezi Mungu. Kwa hakika, binadamu ni mwingi wa kukanusha neema za Mola Wake Alizowaneemesha kwazo, ni mwenye kudhihirisha kukataa kwake na kukanusha kwake, anahesabu misiba na anasahau neema.