Totdat, wanneer hij tot Ons komt, hij (tot zijn metgezel) zegt: “Was de afstand tussen ons maar als die tussen de zonsopgang en de zonsondergang, (jij bent de) slechtste metgezel!”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Mpaka pale atakapotujia yule aliyeupa mgongo utajo wa Mwenyezi Mungu pamoja na yule mwenzake Shetani, ili kuhesabiwa na kulipwa, atasema yule mwenye kupa mgongo kumwambia mwenzake, «Natamani lau baina yangu mimi na wewe pana umbali wa baina ya Mashariki na Magharibi, kwani mwenza mbaya zaidi kwangu ni wewe kwa kuwa umenipoteza.”