En toen Isa met (Onze) duidelijke bewijzen kwam, zei hij: “Ik ben tot jullie met wijsheid gekomen zodat ik jullie een aantal zaken, waarover jullie van mening verschillen, duidelijk kan "maken, vrees daarom Allah en gehoorzaam mij.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na Īsā alipowajia Wana wa lsrāīl kwa dalili zilizofunuka wazi alisema, «Nimewajia na unabii, na ili niwaeleze baadhi ya mambo ya yale mnayotafautiana kwayo katika mambo ya Dini. Basi mcheni Mwenyezi Mungu kwa kufuata amri Zake na kuepuka makatazo Yake, na mnitii mimi katika yale ninayowaamrisha ya kumcha Mwenyezi Mungu na kumtii.