Degenen die naar het woord luisteren en daarna het beste ervan volgen, dat zijn (degenen) die Allah geleid heeft en dat zijn de bezitters van verstand.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
ambao wanasikiliza maneno na kufuata yaliyo sawa zaidi. Na maneno mazuri zaidi na yaliyo sawa zaidi ni maneno ya Mwenyezi Mungu kisha ni maneno ya Mtume Wake. Hao ndio wale ambao Mwenyezi Mungu Amewaafikia kwenye usawa na haki na akawaongoza kwenye tabia na matendo bora zaidi; hao ndio watu wenye akili zilizotimia.