Maar degenen die Allah vrezen en hun plichten tot hun Heer (Allah) vervullen, voor hen worden liefelijke kamers gebouwd, de ene boven de ander, waaronder rivieren stromen. Als een belofte van Allah, en Allah breekt de belofte niet.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Lakini wale waliomcha Mola wao, kwa kumtii na kwa kumtakasia ibada, watakuwa na vyumba, huko Peponi, vilivyojengewa baadhi yake juu ya vingine, ambavyo chini ya miti yake mito inapita. Mwenyezi Mungu amewaahidi (vyumba hivyo) waja Wake wachamungu, ahadi ambayo ni yenye kutimia kwa uhakika, na Mwenyezi Mungu Haendi kinyume na ahadi,