Is Allah niet voldoende voor (al datgene) Zijn dienaar (aangaat)? Toch proberen zij jullie bang te maken met degenen (die zij) naast Hem (aanbidden)! En wie door Allah tot dwaling gebracht wordt, voor hem is er geen leider.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Je, kwani Mwenyezi Mungu si Mwenye kumtosheleza mja Wake Muhammad vile vitisho vya washirikina na vitimbi vyao kuwa wao hawatamfikia kwa ubaya wowote? Ndio, Yeye Atamtosheleza katika jambo la Dini yake na dunia yake, na Atamtetea dhidi ya yoyote anayemtaka kwa ubaya. Na wao wanakutisha, ewe Mtume, na waungu wao wanaodai kuwa watakudhuru. Na yoyote yule ambaye Mwenyezi Mungu Ameondoa msaada Wake kwake na Akamfanya apotee njia ya haki, basi huyo hana muongozi wa kumuongoza Kwake.