Hebben zij anderen als bemiddelaars naast Allah genomen? Zeg: “Zelfs als zij geen macht hebben en geen verstand?”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Au kwani hawa wanaomshirikisha Mwenyezi Mungu wamewachukua badala Yake Yeye waungu wao wanaowaabudu wakawafanya ni waombezi wakuwaombea kwa Mwenyezi Mungu katika haja zao? Waambie, «Je mnawafanya ni waombezi kama mnavyodai, ingawa waungu hao hawamiliki chochote na hawafahamu kamwe kuwa nyinyi mnawaabudu?