En voorwaar, het is aan jou geopenbaard zoals het aan degenen vóór jou geopenbaard is: “Als jullie in de aanbidding van Allah deelgenoten toevoegen, dan zullen (al) jullie daden vruchteloos zijn en zullen jullie zeker onder de verliezers verkeren.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Kwa hakika uliletewa wahyi wewe, ewe Mtume, na Mitume waliokuwa kabla yako kwamba lau ulimshirikisha Mwenyezi Mungu na asiyekuwa Yeye amali zako zingalibatilika na ungalikuwa ni miongoni mwa walioangamia waliopata hasara, hivyo basi ukapata hasara ya dini yako na Akhera Yako, kwani pamoja na ushirikina haikubaliwi amali njema.