En reciteer wat aan jou geopenbaard is van het Boek van jouw Heer. Niemand kan Zijn Woorden veranderen, en niemand kan een andere toevlucht vinden dan bij Hem.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na usome Qur’ani, ewe Mtume, ambayo Mwenyezi Mungu Amekuletea wahyi nayo, kwani hiyo Qur’ani ni Kitabu ambacho hakuna mwenye kuyageuza maneno yake kwa kuwa ni ya kweli na ya uadilifu, na hutapata isipokuwa kwa Mola wako mahala pa wewe kuhamia wala pa kujilinda.