Het was beter voor jouw geweest om te zeggen toen jij je tuin binnenging: “Datgene wat Allah wil (zal gebeuren)! Er is geen macht buiten Allah! Indien jij van mij ziet, dat ik minder dan jou ben, op het gebied van bezit en kinderen.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
«Kwani si ingalikuwa afadhali, ulipoingia kwenye shamba lako na likakupendeza, kama ulimshukuru Mwenyezi Mungu na ukasema, ‘Haya ni yale Aliyenitakia Mwenyezi Mungu, sina nguvu ya kuyapata isipokuwa ni kwa Mwenyezi Mungu.’ Iwapo waniona mimi kuwa ni mchache wa mali na watoto kuliko wewe,