En zij zullen voor jullie Heer in rijen neer worden gezet (en Allah zal zeggen): “Nu zijn jullie zeker tot Ons gekomen op de manier waarop Wij jullie het eerste geschapen hadden. Nee, maar jullie hadden gedacht dat Wij geen ontmoeting met jullie hadden vastgesteld.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na hapo watahudhurishwa wote kwa Mola wako wakiwa wamejipanga safu, hakuna yoyote kati yao anayefichwa, na hapo Awaambie «Tumewafufua na mumetujia mkiwa peke yenu, hakuna mali pamoja na nyinyi wala watoto, kama vile tulivyowaumba mara ya kwanza. Bali mlifikiria kwamba hatutawaekea nyinyi wakati wa kuwafufua na kuwalipa kwa matendo yenu.»