En deze steden hebben Wij vernietigd toen zij zondigden. En Wij hebben een bepaalde termijn voor hun vernietiging vastgesteld.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Vijiji hivyo vilivyo karibu na nyinyi, kama vijiji vya watu wa Nūḥ„ Ṣāliḥ„ Lūṭ, na Shu'ayb, tuliviangamiza watu wake walipodhulumu kwa kukufuru, na tuliwawekea wakati na muda maalumu wa kuwaangamiza; walipoufikia adhabu iliwajia na Mwenyezi Mungu Akawaangamiza kwayo.