(Mozes) zei: “Dat is waar wij naar gezocht hebben.” Dus keerden zij in hun voetstappen terug.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Mūsā akasema, «Yaliyotokea ndiyo ambayo tulikuwa tukiyataka, kwani hiyo ni alama yangu ya mahali pa mja mwema.» Hapo wakarudi wakizifuata alama za nyayo zao mpaka wakakoma kwenye jiwe.