(Dhoel- Qarnain) zei: “Dit is een gunst van mijn Heer, maar wanneer de belofte van mijn Heer komt, zal Hij het met de grond vereffenen. En de belofte van mijn Heer is Waarheid.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Dhulqarnain akasema, «Hiki nilichokijenga cha kuzuia uharibifu wa Ya’jūj na Ma’jūj ni rehema kwa watu itokayo kwa Mola wangu, na ahadi ya Mwenyezi Mungu itakapokuja ya kutoka Ya’jūj na Ma’jūj, Atakifanya kigongeke- gongeke kivunjike na kiwe sawa na ardhi, na ahadi ya Mwenyezi Mungu ni ya kweli.»