Of voelen jullie je er veilig voor dat Hij Die in de hemel is, niet een gewelddadige wervelwind zal sturen? Dan zullen jullie weten hoe (terecht) Mijn waarschuwing was.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Au mmesalimika kuwa Mwenyezi Mungu Aliye juu ya mbingu kuwa Hatawatumia upepo wenye kuwapiga mawe madogomadogo na hapo mkajua, enyi makafiri, ni vipi onyo langu kwenu mnapoiona adhabu? Na huko kujua wakati huo hakutawanufaisha. Katika hii aya pana kuthibitisha kuwa Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Yuko juu kwa namna inayonasibiana na utukufu Wake, kutakasika ni Kwake.