Zeg: “De kennis daarover is alleen bij Allah en ik ben slechts een duidelijke waarschuwer.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Waambie hao, ewe Mtume, «Hakika ujuzi wa kipindi cha kusimama Kiyama uko kwa Mwenyezi Mungu Peke Yake Ndiye Anayehusika nacho. Na hakika si lingine ni kwamba mimi ni muonyaji kwenu, ninawaogopesha mwisho mbaya wa ukafiri wenu na ninawaeleza kile Alichoniamrisha Mwenyezi Mungu nikibainishe upeo wa kubainisha.