Behalve wat Allah wil, Hij kent het openlijke en het verborgene.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Isipokuwa iwapo Mwenyezi Mungu Ataka usahau kwa hekima na maslahi anayoyajua Yeye. Kwani Yeye ni Mjuzi wa yaliyo wazi na yaliyofichika, ya maneno na ya vitendo.