Dit (de Koran) is een duidelijke aanwijzing voor de mensheid en een Leiding en een genade voor een volk dat een zeker geloof heeft.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hii Qur’ani tuliyokuteremshia, ewe Mtume, ni miangaza ya watu kuiona haki na kuipambanua na batili, na kuijua kwayo njia ya usawa, na ni uongofu na rehema kwa watu wenye kuwa na Imani ya yakini juu ya uhakika wa usahihi wake, na kwamba hiyo ni teremsho kutoka kwa Mshindi Mwenye hekima.