Van elk Vers dat Wij teniet" doen of doen vergeten: Wij brengen er iets beters voor in de plaats. Weten jullie niet dat Allah in staat is om alles te doen?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Tunaipoibadilisha aya au kuiondoa kutoka nyoyoni na akilini, tunaileta yenye manufaa zaidi kwenu kuliko hiyo au tunaileta iliyo mfano wake katika utekelelezaji na thawabu. Na kila mojawapo ya aya hizo ina hekima yake. Kwani hujui, ewe Nabii, kwamba Mwenyezi Mungu ni Muweza, hakuna kitu kinachomshinda?