En zij zeggen: “Allah heeft een zoon gekregen. Verheerlijkt is Hij. Nee! Aan Hem behoort alles wat er in de hemelen en op de aarde is en allen onderwerpen zich in gehoorzaamheid aan Hem.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na walisema Mayahudi na Wanaswara, “Mwenyezi Mungu Amejifanyia mtoto.” Ameepukana Mwenyezi Mungu, kutakasika na sifa pungufu ni Kwake, na neno hilo la batili! Kwani wote walioko mbinguni na ardhini ni milki Yake na ni watumwa Wake. Wote wanamnyenyekea Yeye na wanapelekewa wakiwa chini ya uendeshaji Wake.