En als zij door een (beproevende) ramp worden getroffen, zeggen zij: “Waarlijk, het is aan Allah dat wij toebehoren (dus doet Hij met ons wat Hij wenst) en het is tot Hem dat wij zullen terugkeren (in het Hiernamaals).”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Miongoni mwa sifa za hawa wenye kusubiri ni kwamba wao wanapofikwa na kitu wanachokichukia husema, «Sisi ni waja waliomilikiwa na Mwenyezi Mungu, tunaoendeshwa kwa amri Yake na mapitisho Yake. Anafanya kwetu Alitakalo. Na sisi Kwake, Peke Yake, ni wenye kurudi kwa kufa, kisha kwa kufufuliwa ili kuhesabiwa na kulipwa.