Behalve degenen die berouw hebben getoond en zich beteren en openlijk de Waarheid verklaren. Van deze zal Ik het berouw aanvaarden. En Ik ben degene Die het berouw aanvaard, de Genadevolle.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Isipokuwa wale waliorudi hali ya kutubia makosa yao, wakarekebisha waliyoyaharibu na wakayabainisha waliyoyaficha. Hao nitazikubali toba zao na nitawalipa kwa kuwasamehe. Na mimi ni Mwenye kukubali mno toba ya mwenye kutubia kati ya waja Wangu na ni Mwenye huruma kwao kwa kuwapa taufiki ya kutubia na kukubali toba kutoka kwao.