Als jullie terugvallen nadat de duidelijke Tekenen (van de Waarheid) jullie hebben bereikt, weet dan dat Allah de Almachtige, de Alwijze is.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na iwapo mtapondoka kwenye njia ya haki, baada ya kujiliwa na hoja wazi-wazi za Qur’ani na Suna, basi jueni kwamba Mwenyezi Mungu ni Mshindi katika ufalme Wake, hakuna chochote kilicho nje ya mamlaka Yake, ni Mwingi wa hekima kwenye amri Zake na Makatazo yake, Anaweka kila kitu pahali pake palinganapo nacho.