Zij wachten op niets anders dan dat (de bestraffing van) Allah tot hen komt in de schaduwen van de wolken en de Engelen. (Dan) zal de zaak reeds berecht zijn. En tot Allah zullen alle zaken terugkeren.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hawangojei hawa wakaidi wenye kukanusha, baada ya kusimama dalili wazi, isipokuwa Awajie Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka na kushinda, kwa namna inayolingana na Yeye, Aliyetakasika na kila sifa mbaya, katika vivuli vya Mawingu Siku ya Kiyama ili Aamue baina yao kwa hukumu adilifu, na waje Malaika. Wakati huo, Atahukumu Mwenyezi Mungu, kati yao, hukumu Yake. Na kwake Yeye Peke Yake hurudishwa mambo yote ya viumbe.