En (gedenk) toen jullie een mens hadden gedood en je een ander daarvoor beschuldigde. Maar Allah liet alles zien wat jullie verborgen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na Kumbukeni, mlipomuua mtu, mkabishana kuhusu yeye, akawa kila mmoja ajiepushia nafsi yake tuhuma ya kuua na hali Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyafichua yale ambayo mlikuwa mkiyaficha kuhusu kifo cha yule aliyeuawa.