En Wij lieten uit de aarde de bronnen stromen. Waarna de wateren elkaar ontmoetten in een voorbeschikte zaak.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
na tukapasua ardhi tukatoa chemchemi za maji yanayotoka kwa kasi, yakakutana maji ya mbinguni na maji ya ardhini kuwaangamiza wao kwa vile Alivyowakadiria mwenyezi Mungu, yakiwa ni malipo ya ushirikina wao.