Die mensen wegrukte alsof zij ontwortelde stammen van palmbomen waren.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
yenye kung’oa watu kutoka mahali walipo kwenye ardhi na kuwatupa kwa vichwa vyao, kuzivunja shingo zao na kuvipambanua vichwa vyao na miili yao na kuwaacha kama mitende iliyong’olewa kutoka mashinani.