Als een gunst van Ons, zo belonen Wij wie" dankbaar is.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
ikiwa ni neema itokayo kwetu juu yao. Kama tulivyompa malipo mema Lūṭ na watu wake wa nyumbani, tukawapa neema na tukawaokoa na adhabu yetu ndivyo tunavyowalipa mema waliotuamini na kutushukuru.