Hij inspecteerde (de afdeling van) de vogels en zei: “Hoe komt het dat ik de (fladderende) hop niet zie? Of behoort hij tot de afwezigen?
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na akakagua Sulaymān hali ya ndege waliofanywa watiifu kwake na hali ya wale wasiokuweko miongoni mwao, na kulikuwa hapo kwake kuna ndege anayetambulikana na kujulikana aina ya hud-hud asimpate hapo. Akasema, «Kwa nini mimi simuoni yule hud-hud nimjuwae? Je, kuna kitu kilichomfanya afichike nisimuone? Au huyu ni miongoni mwa wale ambao hawapo hapa kwangu, ndio nisimuone kwa kuwa hayupo?» Ilipofunuka wazi kuwa hayupo,