Ik vond daar een vrouw (de koningin van Saba’) die over hen heerste, en zij beschikt over alle zaken en zij heeft een grote troon.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
«Mimi nimemkuta mwanamke anawatawala watu wa Saba ’, na amepatiwa kila kitu katika mahitaji ya utawala wa kidunia, na ana kitanda cha heshima kubwa anakalia juu yake kuendesha mambo ya ufalme wake.