Wees niet minachtend over mij, maar kom tot mij als moslims.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Msifanye kiburi wala msijifanye wakubwa mkakataa kuyakubali haya ninayowalingania. Na njooni kwangu mkiwa ni wenye kukubali upweke wa Mwenyezi Mungu na kujisalimisha Kwake kwa utiifu.»