Zij zei: “Waarlijk! Koningen plunderen een stad als zij die binnentreden en verlagen de eerbaarsten onder haar volk. En dat doen zij ook.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Akasema akiwatahadharisha kukabiliana na Sulaymān kwa uadui na akiwaelezea mwisho mbaya wa kupigana, «Kwa hakika, wafalme wakiingia na majeshi yao kwenye mji kwa nguvu na ushindi, wanauharibu, wanawafanya watukufu wake kuwa wanyonge, wanauwa na wanachukua mateka. Na hii ndiyo desturi yao inayoendelea na inayojikita ili kuwafanya watu wawaogope.