En dat wat zij gewend was naast Allah te aanbidden heeft haar weerhouden, want zij was van het ongelovige volk.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na kilimzuia yeye kumuabudu Mwenyezi Mungu Peke Yake kile alichokuwa akikiabudu badala ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka,. Kwa hakika yeye alikuwa ni kafiri na alikulia kati ya watu makafiri na akaendelea kwenye dini yao, isipokuwa hivyo, yeye ana werevu na busara ya kuijua haki na kuipambanua na batili, lakini itikadi za ubatilifu zinaondoa nuru ya moyo.