Benaderen jullie met jullie lusten liever mannen dan vrouwen? Jullie zijn beslist een onwetend volk.” ۞
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Hivi nyinyi mnawajia wanaume kwenye tupu zao za nyuma kwa matamanio badala ya wanawake? Bali nyinyi ni watu msiojua haki ya Mwenyezi Mungu juu yenu, ndipo mkaenda kinyume na amri Yake na mkamuasi Mtume Wake kwa kitendo chenu kibaya ambacho hakuwatangulia nacho yoyote katika viumbe.»