Er werd hem door zijn volk enkel het volgende als antwoord gegeven: “Verjaag de familie van Loeth uit jullie stad. Want waarlijk, het zijn mensen die zich reinigen en zuiver wensen te zijn.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Watu wa Lūṭ hawakuwa na jawabu la kumpa isipokuwa ni kuambiana wao kwa wao, «Watoeni wafuasi wa Lūṭ kwenye mji wenu, kwani wao ni watu wanaojiepusha na kuwajilia wanaume.» Waliwaambia hilo kwa njia ya kuwafanyia shere.