Aanmelden
Aanmelden
Aanmelden
Taal selecteren

Tafseer: An-Naml 27:57

27:57
فانجيناه واهله الا امراته قدرناها من الغابرين ٥٧
فَأَنجَيْنَـٰهُ وَأَهْلَهُۥٓ إِلَّا ٱمْرَأَتَهُۥ قَدَّرْنَـٰهَا مِنَ ٱلْغَـٰبِرِينَ ٥٧
فَأَنجَيۡنَٰهُ
وَأَهۡلَهُۥٓ
إِلَّا
ٱمۡرَأَتَهُۥ
قَدَّرۡنَٰهَا
مِنَ
ٱلۡغَٰبِرِينَ
٥٧
Toen redden Wij hem en zijn familie, behalve zijn vrouw. Wij bepaalden dat zij één van degenen moest zijn die achterbleven.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Tukamuokoa Lūṭ na watu wake waliomfuata na adhabu ambayo itawashukia watu wa Lūṭ waliomkanusha, isipokuwa mkewe tuliomkadria kuwa ni mwenye kusalia kwenye adhabu mpaka aangamie pamoja na wenye kuangamia, kwa kuwa yeye alikuwa ni msaidizi wa watu wake kwa matendo yao mabaya na alikua akiridhika nayo.