Zeg (O Mohammed) tegen hen: “Reis over het land en zie hoe het einde van de misdadigers was.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Waambie, ewe Mtume, hawa wakanushaji, «Tembeeni kwenye ardhi mziangalie nyumba za wahalifu waliokuwa kabla yenu muone ulikuwa vipi mwisho wa wenye kuwakanusha Mitume? Mwenyezi Mungu Aliwaangamiza kwa ukanushaji wao, na Mwenyezi Mungu Atawafanya nyinyi kama wao iwapo hamtaamini.»