En zij zeggen: “Wanneer (zal) deze belofte (vervuld worden), als jij waarachtig bent?”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na washirikina wa watu wako, ewe Mtume, wanasema «Itakuwa lini ahadi hii ya adhabu mnayotuahidi kwayo, wewe na wafuasi wako, mkiwa nyinyi ni wakweli katika yale mnayotuahidi?»