En om de Koran te reciteren. Hij die dan Leiding volgt, volgt die slechts voor zichzelf. En wie dan dwaalt, zeg: “Ik ben slechts één "van de Boodschappers.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
na niwasomee watu Qur’ani, basi mwenye kuongoka kuyajua yaliyomo ndani yake na akayafuata niliokuja nayo, wema wa hilo na malipo yake yatamfaa mwenyewe. Na mwenye kupotea akapotoka na njia ya haki, basi wewe sema, «Mimi ni muonyaji kwenu, nawaonya na adhabu ya Mwenyezi Mungu na mateso Yake iwapo hamtaamini, kwani mimi ni mmoja wa Mitume waliowaonya watu wao, na uongofu wa aina yoyote hauko mikononi mwangu.