(Mozes) zei: “Waarlijk, u weet dat deze Tekenen door niemand anders dan door de Heer van de hemelen en de aarde, als duidelijk Bewijs naar beneden zijn gestuurd. En ik denk zeker O Farao dat u tot de vernietiging gedoemd bent!”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Mūsā akamjibu, «Umeshajua kwa yakini, ewe Fir'awn, kwamba hakuiteremsha miujiza hiyo tisa yenye kuutolea ishahidi unabii wangu isipokuwa Mola wa mbingu na ardhi, ipate kuwa ni dalili ambazo wenye busara watazitumia kuonyesha upweke wa Mwenyezi Mungu Aliyetukuka katika uola Wake na uungu Wake, na mimi nina yakini kwamaba wewe, ewe Fir'awn, ni mwenye kuangamia, kulaaniwa na kushindwa.»