En houd jullie hand niet op jullie zak, noch open haar al te wijd, anders komen jullie tot schande en in diepe armoede.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wala usiuzuie mkono wako kutumia katika njia njema, ukaidhiki nafsi yako na watu wako na wahitaji, na wala usipite kiasi katika matumizi ukatoa zaidi ya uwezo wako, kwani ukifanya hivyo utaketi hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa, kwani watu watakulaumu na watakutukana, na ni mwenye kujuta juu ya ufujaji wako na mali yako kupotea.