En als jij de Koran reciteert dan plaatsen Wij tussen jou en degenen die niet geloven in het Hiernamaals, een onzichtbare sluier, zodat zij het niet zullen horen.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na usomapo Qur’ani wakaisikia hawa washirikina, tunaweka baina yako wewe na hawa wasioiamini Akhera pazia yenye kusitiri ili kuziziba akili zao wasiifahamu Qur’ani, ikiwa ni mateso kwao kwa ukafiri wao na kukanusha kwao.