En (de Joden) vragen jou over de ziel (die het lichaam in leven houd). Zeg: “De kennis over de ziel is bij mijn Heer. En van (Allah’s verheven) kennis wordt jullie maar weinig gegeven.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na makafiri wanakuuliza juu ya uhakika wa roho kwa njia ya ushindani, basi wajibu kwamba uhakika wa roho na hali zake ni katika mambo ambayo Mwenyezi Mungu Ameufanya ujuzi wake uweko Kwake. Na hamukupewa ujuzi, nyinyi na watu wote, isipokuwa kitu kichache.