En voorwaar, Wij hebben voor de "mensen in deze Koran nauwkeurig elk soort gelijkenis uitgelegd, maar het grootste gedeelte van de mensheid weigert het (de waarheid en nemen niets anders aan) dan ongeloof.”
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Na tumewafafanulia watu katika hii Qur’ani kila aina ya mfano unaopasa kuzingatiwa, kwa njia ya kuwasimamishia hoja, ili waifuate na waitumie, lakini wengi wa watu walikataa isipokuwa ni kuipinga haki na kuzikanusha hoja za Mwenyezi Mungu na dalili Zake.