Hun zijden verzaken hun bedden, Zij roepen hun Heer aan vol hoop en vrees, en geven uit (aan liefdadigheid) van hetgeen waarmee Wij hen hebben voorzien..
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Mbavu za hawa wanaoziamini aya za Mwenyezi Mungu zinajiepusha na magodoro ya kulalia, wakiswali kwa Mola wao swala ya usiku, wakimuomba kwa kuogopa adhabu na kutarajia malipo mema, na katika kile tulichowaruzuku wanatumia katika kumtii Mwenyezi Mungu na katika njia Yake.