Waarlijk, Wij hebben hen beproefd zoals Wij de mensen van de Tuin beproefd hebben, toen zij zwoeren in de ochtend van haar (vruchten) te zullen plukken.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Sisi tumewatahini watu wa Makkah kwa njaa na ukame kama tulivyowatahini wenye shamba walipoapa wakiwa pamoja kwamba watakwenda kuvuna matunda ya shamba lao asubuhi mapema, ili wasiokuwa wao, kati ya masikini na mfano wao, wasipate kula katika mavuno hayo.