En zij vertrokken in de ochtend, vast besloten om (de armen) te weren.
Tafseers
Lagen
Lessen
Reflecties
Antwoorden
Qiraat
Hadith
Wakaenda kipindi cha mwanzo wa mchana kuelekea kwenye shamba lao wakiwa na lengo baya la kuwanyima masikini matunda ya shamba, wakiwa wana uwezo kamili wa kulitekeleza hilo kulingana na madai yao.